Waefeso 2:4-5
Waefeso 2:4-5 SWC02
Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa upendo wake mukubwa; sisi tuliokuwa tumekufa kwa sababu ya makosa yetu, alitufufua pamoja na Kristo. Hivi mumeokolewa kwa neema ya Mungu.
Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa upendo wake mukubwa; sisi tuliokuwa tumekufa kwa sababu ya makosa yetu, alitufufua pamoja na Kristo. Hivi mumeokolewa kwa neema ya Mungu.