Waefeso 2:8-9
Waefeso 2:8-9 SWC02
Kwa maana mumeokolewa kwa neema ya Mungu, kwa njia ya imani. Jambo hili halitokani na ninyi wenyewe, lakini ni zawadi ya Mungu. Si kwa matendo yenu, kusudi mutu asipate kujivuna.
Kwa maana mumeokolewa kwa neema ya Mungu, kwa njia ya imani. Jambo hili halitokani na ninyi wenyewe, lakini ni zawadi ya Mungu. Si kwa matendo yenu, kusudi mutu asipate kujivuna.