1
2 Watesalonika 1:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa sababu hii tunawaombea siku zote kusudi Mungu wetu awawezeshe kustahili kuishi kufuatana na mwito wake. Tunaomba kwamba kwa uwezo wake atimize nia zenu zote njema na kukamilisha kazi yenu ya imani.
Compare
Explore 2 Watesalonika 1:11
2
2 Watesalonika 1:6-7
Kwa maana, Mungu yuko na haki ya kuwatesa wale wanaowatesa ninyi, na kuwapumzisha ninyi munaoteswa pamoja nasi. Jambo lile litatendeka wakati Bwana Yesu atakapoonekana tokea mbinguni pamoja na wamalaika wake wenye uwezo
Explore 2 Watesalonika 1:6-7
Home
Bible
Plans
Videos