2 Watesalonika 1:6-7
2 Watesalonika 1:6-7 SWC02
Kwa maana, Mungu yuko na haki ya kuwatesa wale wanaowatesa ninyi, na kuwapumzisha ninyi munaoteswa pamoja nasi. Jambo lile litatendeka wakati Bwana Yesu atakapoonekana tokea mbinguni pamoja na wamalaika wake wenye uwezo





