1
1 Watesalonika 5:16-18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mukuwe na furaha siku zote. Muombe bila kuchoka. Mumushukuru Mungu katika mambo yote. Kwa maana hayo ndiyo mambo Mungu anayotaka mufanye katika kuungana kwenu na Yesu Kristo.
Compare
Explore 1 Watesalonika 5:16-18
2
1 Watesalonika 5:23-24
Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa, alinde uzima wenu wote ndiyo roho, moyo na mwili wenu, kusudi visikutiwe na kosa wakati Bwana wetu Yesu Kristo atakaporudia. Yule anayewaita ninyi atatimiza mambo hayo, kwa maana yeye ni mwaminifu.
Explore 1 Watesalonika 5:23-24
3
1 Watesalonika 5:15
Muangalie vema, hata mumoja wenu asimurudishie mwenzake ubaya kwa ubaya, lakini mutafutiane wema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.
Explore 1 Watesalonika 5:15
4
1 Watesalonika 5:11
Basi mufarijiane na kujengana imani, kama vile munavyozoea kufanya.
Explore 1 Watesalonika 5:11
5
1 Watesalonika 5:14
Tunawasihi wandugu, muwaonye wale wanaokuwa wavivu, muwatie moyo wale wanaoregea, muwasaidie wale wanaokuwa zaifu, na mukuwe wavumilivu kwa watu wote.
Explore 1 Watesalonika 5:14
6
1 Watesalonika 5:9
Kwa maana Mungu hakututayarishia kuangamizwa kwa ukali wa kasirani yake, lakini kuokolewa kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Explore 1 Watesalonika 5:9
7
1 Watesalonika 5:5
Kwa maana ninyi wote ni watu wanaoishi katika mwangaza, ndio watu wa muchana. Sisi si watu wa usiku wala wa giza.
Explore 1 Watesalonika 5:5
Home
Bible
Plans
Videos