1
2 Watesalonika 2:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Musikubali kudanganywa na mutu yeyote kwa namna yoyote. Kwa maana Siku ile haitatimia mpaka kwanza ule uasi mukubwa utokee na yule Mwovu aonekane ambaye mwisho wake ni kuangamizwa.
Compare
Explore 2 Watesalonika 2:3
2
2 Watesalonika 2:13
Lakini sisi tunapaswa kumushukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu ninyi wandugu wapendwa wa Bwana. Kwa maana Mungu amewachagua ninyi wa kwanza kuwa watu wake kusudi mupate kuokolewa kwa kutakaswa na Roho Mutakatifu na kwa kuamini maneno ya ukweli.
Explore 2 Watesalonika 2:13
3
2 Watesalonika 2:4
Yeye atapinga kitu chochote watu wanachohesabu kuwa cha kimungu au wanachoabudu na kujiweka kuwa juu ya vyote. Yeye ataenda hata kuingia katika hekalu la Mungu na kukaa mule na kujiita mwenyewe kuwa Mungu.
Explore 2 Watesalonika 2:4
4
2 Watesalonika 2:16-17
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatufariji kwa milele na kutupatia tumaini njema, awafariji na kuwaimarisha katika matendo na maneno yote mema.
Explore 2 Watesalonika 2:16-17
5
2 Watesalonika 2:11
Kwa sababu hii Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu wapate kuamini mambo ya uongo.
Explore 2 Watesalonika 2:11
6
2 Watesalonika 2:9-10
Mwovu atakuja na uwezo wa Shetani na kufanya miujiza ya kila namna, vitambulisho na maajabu ya uongo. Atatumia ubaya wa kila namna kwa kuwadanganya wale wanaopotea kwa sababu hawakupenda kukubali na kupenda mambo ya kweli yaliyoweza kuwaokoa.
Explore 2 Watesalonika 2:9-10
7
2 Watesalonika 2:7
Hata hivi yule Mwovu anatenda kazi zake kwa siri; lakini yule anayezuiza ataendelea hata atakapoondoshwa.
Explore 2 Watesalonika 2:7
Home
Bible
Plans
Videos