1
1 Watesalonika 4:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Na kisha sisi tutakaokutiwa wazima wakati ule, tutanyanyuliwa pamoja nao katika mawingu kwa kukutana na Bwana katika anga. Na hivi tutakaa siku zote pamoja na Bwana.
Compare
Explore 1 Watesalonika 4:17
2
1 Watesalonika 4:16
Kwa sababu amri itakapotoka na sauti ya malaika mukubwa itakaposikilika, na baragumu ya Mungu itakapolia, Bwana mwenyewe atashuka toka mbinguni. Halafu wale waliokufa wakimwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
Explore 1 Watesalonika 4:16
3
1 Watesalonika 4:3-4
Kitu Mungu anachotaka ni kwamba mukuwe watakatifu na muepuke mambo ya uasherati. Kila mwanaume anapaswa kujua namna ya kuishi na muke wake katika hali ya utakatifu na ya heshima
Explore 1 Watesalonika 4:3-4
4
1 Watesalonika 4:14
Tunaamini kwamba Yesu alikufa na alifufuliwa, na kwa hiyo tunaamini vilevile kwamba Mungu atawafufua pamoja na Yesu wale waliokufa wakimwamini Yesu.
Explore 1 Watesalonika 4:14
5
1 Watesalonika 4:11
Mufanye bidii sana mupate kuishi katika amani. Mushugulike na mambo yenu ninyi wenyewe na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe sawa vile tulivyokwisha kuwaagiza.
Explore 1 Watesalonika 4:11
6
1 Watesalonika 4:7
Kwa maana Mungu hakutuita kusudi tuishi katika uchafu, lakini katika utakatifu.
Explore 1 Watesalonika 4:7
Home
Bible
Plans
Videos