1 Watesalonika 5:16-18
1 Watesalonika 5:16-18 SWC02
Mukuwe na furaha siku zote. Muombe bila kuchoka. Mumushukuru Mungu katika mambo yote. Kwa maana hayo ndiyo mambo Mungu anayotaka mufanye katika kuungana kwenu na Yesu Kristo.
Mukuwe na furaha siku zote. Muombe bila kuchoka. Mumushukuru Mungu katika mambo yote. Kwa maana hayo ndiyo mambo Mungu anayotaka mufanye katika kuungana kwenu na Yesu Kristo.