1
1 Watesalonika 1:2-3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tunamushukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu ninyi wote. Nasi tunawakumbuka katika maombi yetu bila kuchoka. Kwa maana tunakumbuka mbele ya Mungu Baba yetu namna munavyotumika kwa imani na munavyojisumbua na kazi kwa ajili ya upendo wenu. Vilevile tunakumbuka namna tumaini lenu katika Yesu Kristo linavyokuwa imara.
Compare
Explore 1 Watesalonika 1:2-3
2
1 Watesalonika 1:6
Ninyi mumefuata mufano wetu na mufano wa Bwana, kwa kuwa ingawa muliteswa sana, mulipokea neno la Mungu kwa furaha inayotoka kwa Roho Mutakatifu.
Explore 1 Watesalonika 1:6
Home
Bible
Plans
Videos