1
Wakolosayi 4:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Masemi yenu yanapaswa kuwa mazuri siku zote na yenye kufaa, munapaswa kujua kujibia kila mutu vizuri.
Compare
Explore Wakolosayi 4:6
2
Wakolosayi 4:2
Mudumu katika kuomba. Munapoomba mukeshe na kumutolea Mungu shukrani.
Explore Wakolosayi 4:2
3
Wakolosayi 4:5
Mukuwe na mwenendo wa hekima mbele ya watu wanaokuwa wa inje ya kanisa, mukitumia vema kila wakati munaoupata.
Explore Wakolosayi 4:5
Home
Bible
Plans
Videos