1
1 Watesalonika 2:4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini siku zote tunasema vile Mungu anavyotaka, kwa maana yeye aliamua kwamba tunastahili, akatupatia kazi ya kuhubiri Habari Njema yake. Sisi hatutafuti kuwapendeza watu, lakini tunataka kupendeza Mungu, anayejua siri za mioyo yetu.
Compare
Explore 1 Watesalonika 2:4
2
1 Watesalonika 2:13
Inatupasa tena kumushukuru Mungu siku zote kwa ajili ya jambo hili: muliposikia neno la Mungu kutoka kwetu, hamukulikubali kama vile neno la mutu, lakini kama vile kweli ndilo neno la Mungu. Na neno lile ndilo linalofanya kazi ndani ya mioyo yenu ninyi wanaoamini.
Explore 1 Watesalonika 2:13
Home
Bible
Plans
Videos