1
1 Wakorinto 12:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Na kwa kila mutu Roho anajifunua kwa faida ya wote.
Compare
Explore 1 Wakorinto 12:7
2
1 Wakorinto 12:27
Ninyi wote ni mwili wa Kristo, na kila mumoja wenu ni kiungo cha mwili ule.
Explore 1 Wakorinto 12:27
3
1 Wakorinto 12:26
Kama kiungo kimoja kikiumia, viungo vingine vyote vinaugua pamoja nacho. Kiungo kimoja kikiheshimiwa, viungo vingine vyote vinafurahi pamoja nacho.
Explore 1 Wakorinto 12:26
4
1 Wakorinto 12:8-10
Basi mutu mumoja anapewa na Roho uwezo wa kusema maneno ya hekima, na mwingine uwezo wa kusema maneno ya ufahamu na Roho yule yule. Mwingine anapewa imani na Roho yule yule na mwingine uwezo wa kuponyesha wagonjwa. Mwingine anapewa uwezo wa kufanya miujiza, mwingine zawadi ya kutabiri, na mwingine uwezo wa kutambua roho ya uongo na Roho wa ukweli. Mwingine alipewa uwezo wa kusema luga za ajabu na mwingine uwezo wa kutafsiri luga zile.
Explore 1 Wakorinto 12:8-10
5
1 Wakorinto 12:11
Ni yule yule Roho mumoja anayetenda mambo hayo yote, akimupa kila mumoja zawadi mbalimbali kama anavyopenda.
Explore 1 Wakorinto 12:11
6
1 Wakorinto 12:25
kusudi kusikuwe mabishano katikati ya viungo vya mwili, lakini vyote visaidiane sawasawa.
Explore 1 Wakorinto 12:25
7
1 Wakorinto 12:4-6
Kuna zawadi mbalimbali, lakini ni Roho mumoja anayezitoa. Kuna utumishi wa namna mbalimbali, lakini ni Bwana mumoja ndiye wanayemutumikia. Kuna kazi za namna mbalimbali, lakini Mungu ni mumoja anayewezesha watu wote kuzitimiza.
Explore 1 Wakorinto 12:4-6
8
1 Wakorinto 12:28
Vilevile Mungu ameweka kwanza mitume katika kanisa; pili manabii na tatu walimu; kisha kunakuwa wale wenye zawadi ya kufanya miujiza, ya kuponyesha wagonjwa, ya kusaidia wengine, ya kuongoza wengine, ya kusema luga za ajabu.
Explore 1 Wakorinto 12:28
9
1 Wakorinto 12:14
Mwili hauundwi na kiungo kimoja tu, lakini na viungo vingi.
Explore 1 Wakorinto 12:14
10
1 Wakorinto 12:22
Lakini zaidi ya hiyo, viungo vya mwili vinavyoonekana kuwa zaifu, ndivyo vinavyokuwa vya lazima.
Explore 1 Wakorinto 12:22
11
1 Wakorinto 12:17-19
Kama mwili wote ungekuwa jicho, namna gani ungeweza kusikia? Na kama ungekuwa sikio, namna gani ungeweza kunusa? Lakini sasa, Mungu amepanga viungo vya mwili kila kimoja kama ilivyomupendeza. Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili haungekuwa!
Explore 1 Wakorinto 12:17-19
Home
Bible
Plans
Videos