YouVersion Logo
Search Icon

1 Wakorinto 12:8-10

1 Wakorinto 12:8-10 SWC02

Basi mutu mumoja anapewa na Roho uwezo wa kusema maneno ya hekima, na mwingine uwezo wa kusema maneno ya ufahamu na Roho yule yule. Mwingine anapewa imani na Roho yule yule na mwingine uwezo wa kuponyesha wagonjwa. Mwingine anapewa uwezo wa kufanya miujiza, mwingine zawadi ya kutabiri, na mwingine uwezo wa kutambua roho ya uongo na Roho wa ukweli. Mwingine alipewa uwezo wa kusema luga za ajabu na mwingine uwezo wa kutafsiri luga zile.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Wakorinto 12:8-10