1 Wakorinto 12:4-6
1 Wakorinto 12:4-6 SWC02
Kuna zawadi mbalimbali, lakini ni Roho mumoja anayezitoa. Kuna utumishi wa namna mbalimbali, lakini ni Bwana mumoja ndiye wanayemutumikia. Kuna kazi za namna mbalimbali, lakini Mungu ni mumoja anayewezesha watu wote kuzitimiza.





