1
Mathayo 4:4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Yesu akajibu, “Maandiko yanasema, ‘Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Neno linalotoka katika kinywa cha Mungu.’”
So sánh
Khám phá Mathayo 4:4
2
Mathayo 4:10
Yesu akamjibu Shetani akamwambia, “Ondoka kwangu Shetani! Kwani Maandiko yanasema, ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake!’”
Khám phá Mathayo 4:10
3
Mathayo 4:7
Yesu akamjibu, “Pia, Maandiko yanasema, ‘usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
Khám phá Mathayo 4:7
4
Mathayo 4:1-2
Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani. Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana.
Khám phá Mathayo 4:1-2
5
Mathayo 4:19-20
Yesu akawaambia, “Njooni, mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa aina nyingine. Nitawafundisha jinsi ya kukusanya watu badala ya samaki.” Mara moja, Simoni na Andrea wakaziacha nyavu zao na kumfuata Yesu papo hapo.
Khám phá Mathayo 4:19-20
6
Mathayo 4:17
Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaambia watu ujumbe wake unaosema, “Mbadili mioyo yenu na maisha yenu pia, kwa sababu Ufalme wa Mungu umewafikia.”
Khám phá Mathayo 4:17