Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Kuongea na Mungu kwa MaombiMfano

Talking With God In Prayer

SIKU 3 YA 4

KUPOKEA MSAMAHA





KUONGEA NA MUNGU


Kwa ukimya yakiri mambo uliyofanya ambayo yamewadhuru wengine. Muombe Mungu msamaha. Kisha mshukuru kwa kukusamehe. ⏎ ⏎KUINGIA NDANI ⏎ Mnapokula chakula tena kama jamii, kila mtu atunde mabanasikia au viskilizisimu lakini mzungumze kama kawaida, bila kujaribu kusaidiana kusikia unachosema. Pia mzidi kuviva mnapotoa vyombo kwenye meza kama familia. ⏎ ⏎KUINGIA NDANI ⏎ Usipokuja kwa Mungu kusamehewa, ni kama unakataa kumsikiliza. Kwa kutomsikia Mungu, unajitenganisha na Yeye, kama vile ulivyofanya wakati ghafla hakuwasikia familia yako wakinena. Soma Zaburi 32:5, "Nimekubali dhambi yangu kwako na sikuuficha uovu wangu. Nilisema, 'Nitakiri makosa yangu kwa Bwana' - na ulisamehe hatia ya dhambi yangu. " Unapoomba msamaha, Mungu hukusamehe. Ni kama anaondoa vibanasikia kutoka masikio yako, na unaweza kumsikia tena. ⏎ ⏎KUONGELESHANA - Je! umewahi kuweka kitu ambacho umefanya siri? Ikiwa ndivyo, je, kujaribu kuificha siri hii ilikufanya ujisikie vipi? ⏎ - Ni nini kinachoweza kukuzuia kwenda kwa Mungu na kutubu dhambi? ⏎ - Je, unajisikie vipi mtu anapokusamehe kitu ambacho umekifanya kibaya?

Andiko

siku 2siku 4

Kuhusu Mpango huu

Talking With God In Prayer

Maisha ya familia, unaweza kuadimika, na tukakosa kupata wakati wakati wa kuomba - wacha hata kukumbuka kuwasaidia watoto wetu kuendeleza tabia ya kumuhusisha Mungu katika siku zao. Katika mpango huu, familia yako itaona...

More

Tungependa kushukuru Focus on the Family kwa kutoa mpango huu. Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea: www.FocusontheFamily.com

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha