Soma Biblia Kila Siku 11/2020Mfano

Hili ni neno hasa kwako uliye mchungaji, mwinjilisti au kiongozi wa aina nyingine katika kanisa. Ni ujumbe muhimu sanakwako kutoka kwa Bwana, maana Petro hutumia neno ”nawasihi”. Tena anawakumbusha kuwa yeye ni nani: mzee katika kanisa, shahidi wa mateso ya Kristo na mshirika wa utukufu wa Mbinguni. Pamoja na kujitambulisha hivyo, angalia pia kwamba anasema ni mwezi waowazee wanaoongoza kanisani (m.1). Ujumbe wake ni kwamba jambo kuukwa kiongozi liwe kuokoa roho za watu wafike Mbinguni! Wala jambo kuu lisiwe kujinufaisha mwenyewe au kutaka cheo! Pima utumishi wako!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 11/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Mwanzo na 1 Petro. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Tungependa kuishukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo
