Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Mungu anafanya kazi kupitia watu. Wayahudi wamevaa magunia na kufunga wakimlilia Mungu, lakini anahitajika mtu wa kwenda kwa mfalme. Esta anasita kwa sababu sheria hazimruhusu, na anahofia maisha yake. Mordekai anasisitiza, Ni nani ajuaye kama wewe hukuujia ufalme kwa ajili ya wakati kama huo (m.14)? Akiomba ushirika wa Wayahudi, Esta anachukua uamuzi wa ujasiri: Nitaingia kwa mfalme ... nikiangamia, na niangamie (m.17). Hofu gani inakuzuia kuchukua hatua ya ujasiri kwa ajili ya watu wa Mungu?
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
