Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Ikiwa nimepata kibali machoni pako, na mfalme akiona vema, nipewe maisha yangu kuwa dua yangu, na watu wangu kuwa haja yangu (m.3). Kwa ombi hili, Esta anajitambulisha kuwa ni Myahudi. Mfalme aghadhibishwa na hila za Hamani, na kuamuru Hamani atundikwe juu ya mti aliomwekea Mordekai. Mungu ni mwaminifu kwa neno lake lisemalo, Hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli (Zab 121:4). Tukiwa watoto wake, tuwe na ujasiri wa kumwomba lolote. Mungu atupenda na kutusikiliza.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
