Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Mtu asiyefaa, akipata madaraka anaweza kuleta madhara makubwa. Kwa mtu mmoja kutokusujudu na kuinama mbele yake, Hamani anakuwa adui wa taifa zima la Wayahudi, na kutumia nafasi aliyo nayo kutaka kuwaangamiza kabisa. Wakati watu wanafadhaika, mfalme na Hamani wakajiburudisha tu. Watu wangapi wameumizwa ili wakuu watimize azma zao? Jiweke katika nafasi ya Wayahudi, ukisubiri tarehe ya kuangamizwa. Unaelewa kwa nini Mordekai hakuinama? Unakubaliana naye alivyofanya? Uko tayari kufuata mfano wake?
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
