Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Mmepata bure, toeni bure (m.8). Mitume walikuwa wamepata bure. Yaani hawakumlipa Yesu chochote ili awakubali wawe wafuasi wake na mitume wake. Yesu amewapokea kwa neema na amewaita kwa neema. Ni jambo moja tu lililowastahilisha: Walimpokea Yesu na maneno yake. Ni watu walioitika. Vile vile na wao wasidai chochote kwa watu watakapowahubiria Injili na kuwafanyia huduma yao ya ajabu. Watakaowakaribisha na kuyapokea maneno yao ndio wanaostahili: Nyumba ile ikistahili, amani yenu na iifikilie; la, kwamba haistahili, amani yenu na iwarudie ninyi. Na mtu asipowakaribisha wala kuyasikiliza maneno yenu, mtokapo katika nyumba ile, au mji ule, kung'uteni mavumbi ya miguuni mwenu(m.13-14). Je, unayatoa bure uliyopokea bure?
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
