Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Basi mwombeni Bwana wa mavuno, apeleke watenda kazi katika mavuno yake (m.38). Wakristo na viongozi wa kanisa, je, tumelitendea kazi agizo hili la Yesu? Bila shaka hata katika maeneo unapokaa wewe, ndugu msomaji, kuna watu wengi wanaohitaji huduma ya Mungu na wengi ambao hawamjui Mungu kabisa. Na bila shaka watenda kazi ni wachache mno. Basi, kuanzia leo anza kuomba ombi hili kwa Bwana Yesu. Atafurahi ukifanya hivyo na atafanya umwombavyo. Lakini uwe tayari, maana labda atakupeleka wewe!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
