Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Mfalme Ahasuero alikuwa shujaa mwenye nguvu, na Mordekai akapata kibali kwake. Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa (Lk 14:11). Kumcha Mungu na kumtegemea ni jambo jema. Mordekai alipandishwa cheo hadi kushika nafsi ya pili baada ya mfalme. Pia miongoni mwa Wayahudi alikuwa mkuu. Walimpenda na kumheshimu, kwa sababu hakujifikiria bali aliwatumikia wote kwa kuwapatia hali njema. Je, unatumia nafasi uliyo nayo kwa ajili ya kuwa bwana au mtumishi? Mungu anakutazamaje?
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
