Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Somabiblia Kila Siku 3Mfano

Somabiblia Kila Siku 3

SIKU 3 YA 31

Leo tumepewa kutafakari miisho ya watu wa aina mbili: mtu mnyofu na mtu mwovu. Mtu mnyofu hujiepusha na uovu na hutafuta kutenda mema. Kwa upande mwingine, mtu mwovu hutafuta kumwangamiza mtu mnyofu. Je, miisho yao ni nini? Umtazame mtu mnyofu, maana mwisho wake huyo mtu ni amani. Wasio haki mwisho waowataharibiwa. Wokovu wa wenye haki una Bwana(m.37-39). Kuifuata njia ya haki na kumngoja Bwana kuna faida ya kudumu katika maisha haya na hata milele.

Andiko

siku 2siku 4

Kuhusu Mpango huu

Somabiblia Kila Siku 3

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha