Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Somabiblia Kila Siku 3Mfano

Somabiblia Kila Siku 3

SIKU 16 YA 31

Taifa la Israeli walikuwa mzabibu wa Mungu, lakini wakageuka wakawa mzabibu mwitu usiofaa. Nalikuwa nimekupanda, mzabibu mwema sana, mbegu nzuri kabisa; umegeukaje, basi, kuwa mche usiofaa wa mzabibu-mwitu machoni pangu?(Yer 2:21). Sasa Yesu anajitangaza kwamba yeye ndiye Mzabibu wa kweli. Matawi ni wale wakaao ndani yake (m.5). Wakaao ndani yake ni hao ambao neno lake hukaa ndani yao (m.3 na 7). Je, wewe ni mmoja wao? Tambua kwamba Yesu siye shina tu, bali ni mzabibu wote, yaani shina pamoja na matawi! Hii inaonyesha umoja mkubwa ulioko kati ya Yesu na walio wake (m.5)! Yeyeanatufanya tuzae matunda mema!

Andiko

siku 15siku 17

Kuhusu Mpango huu

Somabiblia Kila Siku 3

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha