Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 29:19-20

Methali 29:19-20 BHN

Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii. Wamwona mtu apayukaye bila kufikiri? Mtu mpumbavu ni afadhali kuliko yeye.

Soma Methali 29