Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 29:19-20

Mithali 29:19-20 SRUV

Haitoshi mtumwa kuonywa kwa maneno; Maana ajapoyafahamu hataitika. Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.

Soma Mithali 29