Methali 28:6-7
Methali 28:6-7 BHN
Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu. Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.
Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu. Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.