Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 28:6-7

Mithali 28:6-7 NENO

Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu. Yeye anayetii sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.