Mithali 28:6-7
Mithali 28:6-7 SRUV
Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia angawa ni tajiri. Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.
Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia angawa ni tajiri. Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.