Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 28:6-7

Mithali 28:6-7 SRUV

Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia angawa ni tajiri. Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.

Soma Mithali 28