Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 21:1-2

Methali 21:1-2 BHN

Moyo wa mfalme ni kama maji yanayotiririka; Mwenyezi-Mungu, huuongoza popote apendapo. Matendo yote ya mtu ni sawa machoni pake, lakini Mwenyezi-Mungu hupima mioyo.

Soma Methali 21