Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 21:1-2

Mithali 21:1-2 SRUV

Moyo wa mfalme huwa katika mkono wa BWANA; Kama mifereji ya maji huugeuza popote apendapo. Kila njia ya mtu ni sawa machoni pake mwenyewe; Bali BWANA huipima mioyo.

Soma Mithali 21