Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 20:20-21

Methali 20:20-21 BHN

Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani. Mali iliyopatikana kwa haraka mwanzoni, haitakuwa ya heri mwishoni.

Soma Methali 20