Methali 20:20-21
Methali 20:20-21 BHN
Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani. Mali iliyopatikana kwa haraka mwanzoni, haitakuwa ya heri mwishoni.
Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani. Mali iliyopatikana kwa haraka mwanzoni, haitakuwa ya heri mwishoni.