Mithali 20:20-21
Mithali 20:20-21 SRUV
Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu. Urithi uliopatikana mwanzo kwa haraka, Mwisho wake, lakini, hautabarikiwa.
Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu. Urithi uliopatikana mwanzo kwa haraka, Mwisho wake, lakini, hautabarikiwa.