Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 19:1-3

Methali 19:1-3 BHN

Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko mtu mpotovu wa maneno na mpumbavu. Haifai mtu kuwa bila akili; mwenda harakaharaka hujikwaa. Mtu akijiangamiza kwa upumbavu wake, huielekeza hasira yake dhidi ya Mwenyezi-Mungu.

Soma Methali 19