Mithali 19:1-3
Mithali 19:1-3 SRUV
Afadhali maskini aendaye katika uadilifu wake, Kuliko mpotovu wa midomo aliye mpumbavu. Tena si vizuri nafsi ya mtu ikose maarifa; Naye afanyaye haraka kwa miguu hutenda dhambi. Upumbavu wa mtu hupotosha njia yake; Na moyo wake hununa juu ya BWANA.