Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 19:1-3

Mithali 19:1-3 NENO

Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko mpumbavu ambaye midomo yake imepotoka. Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia. Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake hata hivyo moyo wake humkasirikia BWANA.