Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 12:8-9

Methali 12:8-9 BHN

Mtu husifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mtu wa fikira mbaya hudharauliwa. Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.

Soma Methali 12