Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 12:8-9

Mithali 12:8-9 SRUV

Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa. Afadhali mtu anayedharauliwa, ikiwa ana mtumwa, Kuliko ajisifuye, ikiwa anahitaji chakula.

Soma Mithali 12