Methali 12:8-9
Methali 12:8-9 BHN
Mtu husifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mtu wa fikira mbaya hudharauliwa. Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.
Mtu husifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mtu wa fikira mbaya hudharauliwa. Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.