Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 12:5-7

Methali 12:5-7 BHN

Mawazo ya mwadilifu ni ya haki; mashauri ya mwovu ni ya udanganyifu. Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa. Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.

Soma Methali 12