Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 12:5-7

Mithali 12:5-7 NENO

Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu. Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa. Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.