Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 12:5-7

Mithali 12:5-7 SRUV

Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa. Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa. Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.

Soma Mithali 12