Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:32

Mathayo 5:32 BHN

Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.