Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:32

Mathayo 5:32 NEN

Lakini mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na yeyote amwoaye yule mwanamke aliyeachwa, anazini.