Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:23-24

Mathayo 5:23-24 BHN

“Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe, iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi utoe sadaka yako.