Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 10:6-8

Mathayo 10:6-8 BHN

Ila nendeni kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo. Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’ Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.