Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 10:6-8

Mathayo 10:6-8 SRUV

Bali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Na katika kuenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia. Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.

Soma Mathayo 10