Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 4:41-42

Kumbukumbu la Sheria 4:41-42 BHN

Ndipo Mose akatenga miji mitatu mashariki ya mto Yordani, ambamo mtu ataweza kukimbilia na kujisalimisha, kama ameua mtu ambaye si adui yake kwa bahati mbaya. Mtu kama huyo ataweza kukimbilia katika mji mmojawapo na kuyaokoa maisha yake.