Kumbukumbu 4:41-42
Kumbukumbu 4:41-42 NENO
Kisha Musa akatenga miji mitatu mashariki mwa Yordani, ambayo mtu yeyote aliyemuua mtu angeweza kukimbilia ikiwa amemuua jirani yake bila kukusudia na bila kuwa na chuki naye siku zilizopita. Angeweza kukimbilia katika mmoja ya miji hii na kuokoa maisha yake.